- 339 viewsWakati Kikao cha 78 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kikiendelea New York, makao makuu ya UN, maandamano kupinga serikali ya Iran kwa kile kinacho elezwa kuwa ni uvunjifu wa haki za binadamu yanaendelea. Iran imekuwa ikikosolewa kutoka ndani na nje ya nchi kwa madai ya mauaji ya raia wake ambao wamekuwa mstari wa mbele kukosoa serikali. Endelea kuangalia shinikizo hili... #maandamano #serikali #iran #hakizabinadamu #mauaji #raia #voa #voaswahili #un #barazakuu #umojawamataifa - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
UNGA: Watu wajitokeza New York kuandamana kupinga serikali ya Iran wakiituhumu kwa mauaji
- 9 May 2025 - High Court judge Lawrence Mugambi has dismissed a case filed by Eldoret-based singer William Getumbe, known for his controversial song 'Yesu Ninyandue'.
- 9 May 2025 - President William Ruto has called for reimagining of global heritage standards so as to reflect African realities better at the close of International Conference on Cultural Heritage and Authenticity in Africa.
- 9 May 2025 - The Ministry of Education has dismissed appointments made by the University of Nairobi Council, terming the process as unlawful.
- 9 May 2025 - The JKIA Law Courts has dismissed an application filed by five suspects seeking to challenge the court’s jurisdiction in a case connected to the murder of Kasipul Member of Parliament Charles Were.
- » Blow to 4 suspects in murder of Kasipul MP Charles Were as court dismisses jurisdiction application9 May 2025 - The JKIA Law Courts has dismissed an application filed by four suspects seeking to challenge the court’s jurisdiction in a case connected to the murder of Kasipul Member of Parliament Charles Were.
- 9 May 2025 - Confusion abounded after conflicting reports regarding the operational status of the Music Copyright Society of Kenya (MCSK) CEO Ezekiel Mutua were released to the public.
- 9 May 2025 - The multi-billion-shilling road project is set to be constructed in three phases.
- 9 May 2025 - "I have never ever been to State House, not even for a national event.”
- 9 May 2025 - Ruto confirmed the significant expansion of the country's molecular diagnostic capacity.
- 9 May 2025 - The government gave updates ahead of the much-anticipated CHAN tournament.