- 339 viewsWakati Kikao cha 78 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kikiendelea New York, makao makuu ya UN, maandamano kupinga serikali ya Iran kwa kile kinacho elezwa kuwa ni uvunjifu wa haki za binadamu yanaendelea. Iran imekuwa ikikosolewa kutoka ndani na nje ya nchi kwa madai ya mauaji ya raia wake ambao wamekuwa mstari wa mbele kukosoa serikali. Endelea kuangalia shinikizo hili... #maandamano #serikali #iran #hakizabinadamu #mauaji #raia #voa #voaswahili #un #barazakuu #umojawamataifa - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
UNGA: Watu wajitokeza New York kuandamana kupinga serikali ya Iran wakiituhumu kwa mauaji
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 10 Jul 2025 - Elon Musk-owned X's CEO Linda Yaccarino said on Wednesday she would step down from the role in a surprise move, just months after the social media platform was acquired by the billionaire's AI startup, xAI.
- 10 Jul 2025 - Nigerians seeking to travel to the United States on non-immigrant visas will now receive single-entry three-month permits, the U.S. Embassy in Nigeria said, rolling back the up to five-year, multiple-entry visas they enjoyed previously.
- 10 Jul 2025 - Russia pummelled Ukraine early on Wednesday with its largest missile and drone attack in more than three years of war, claiming to have targeted an airfield in a region bordering Poland.
- 10 Jul 2025 - The US government said Wednesday it subpoenaed Harvard University for records linked to students allegedly involved in a wave of pro-Palestinian student protests that the Trump administration labeled anti-Semitic.
- 10 Jul 2025 - The violence has led to the destruction of property and economic downturn.
- 10 Jul 2025 - Kenya Wildlife Service Director General Erastus Kanga says the park can ecologically accommodate about 90 to 100 rhinos.
- 10 Jul 2025 - Applicants must undergo technical compliance checks, pay penalties, and submit documentation from licensed professionals.
- 10 Jul 2025 - Revolutionary #ActForSRHR campaign brings together men and boys as allies in the fight for reproductive rights
- 10 Jul 2025 - Tutors' employer failed to present comprehensive data on those aged 45 years and above.
- 10 Jul 2025 - Constitutional lawyer Willis Otieno has strongly criticised President William Ruto over his recent directive to the police to