- 339 viewsWakati Kikao cha 78 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kikiendelea New York, makao makuu ya UN, maandamano kupinga serikali ya Iran kwa kile kinacho elezwa kuwa ni uvunjifu wa haki za binadamu yanaendelea. Iran imekuwa ikikosolewa kutoka ndani na nje ya nchi kwa madai ya mauaji ya raia wake ambao wamekuwa mstari wa mbele kukosoa serikali. Endelea kuangalia shinikizo hili... #maandamano #serikali #iran #hakizabinadamu #mauaji #raia #voa #voaswahili #un #barazakuu #umojawamataifa - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
UNGA: Watu wajitokeza New York kuandamana kupinga serikali ya Iran wakiituhumu kwa mauaji
- 4 Dec 2023 - Police officers in Ruiru, Kiambu County have launched a manhunt for three suspected armed robbers who are reported to have caused a car accident in Juja with a stolen car after kidnapping a car dealer and a broker and then fled with a motorcycle.
- 4 Dec 2023 - In a statement on X, the Kenya Red Cross announced that six people were using the boat to cross the river when the tragedy happened. However, only five people had been rescued.
- 4 Dec 2023 - Gilgil Member of Parliament Martha Wangari has issued a plea to Transport Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen, urging immediate action to address the rising cases of road accidents along the Nairobi-Nakuru highway.
- 4 Dec 2023 - But a potential government ban on the sale of used clothing threatens to sever this crucial lifeline for Nakimuli and tens of thousands of vendors like her.
- 4 Dec 2023 - But a potential government ban on the sale of used clothing threatens to sever this crucial lifeline for Nakimuli and tens of thousands of vendors like her.
- 4 Dec 2023 - But a potential government ban on the sale of used clothing threatens to sever this crucial lifeline for Nakimuli and tens of thousands of vendors like her.
- 4 Dec 2023 - Mathare MP Anthony Oluoch has scrutinized the efforts of the Kenya Kwanza Government in stabilizing the economy.
- 4 Dec 2023 - President William Ruto is set to fly to India today to hold bilateral talks with India's Prime Minister Narendra Modi.
- 4 Dec 2023 - Chris Mburu has been championing French as a language and received immense interest at the Kiambu village.
- 4 Dec 2023 - Parliamentary committee says enactment of the law will go a long way in assisting the government tackle poverty.