- 339 viewsWakati Kikao cha 78 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kikiendelea New York, makao makuu ya UN, maandamano kupinga serikali ya Iran kwa kile kinacho elezwa kuwa ni uvunjifu wa haki za binadamu yanaendelea. Iran imekuwa ikikosolewa kutoka ndani na nje ya nchi kwa madai ya mauaji ya raia wake ambao wamekuwa mstari wa mbele kukosoa serikali. Endelea kuangalia shinikizo hili... #maandamano #serikali #iran #hakizabinadamu #mauaji #raia #voa #voaswahili #un #barazakuu #umojawamataifa - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
UNGA: Watu wajitokeza New York kuandamana kupinga serikali ya Iran wakiituhumu kwa mauaji
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 9 May 2025 - Bill Gates pledged on Thursday to give away Ksh.25.8 trillion via his charitable foundation by 2045 and lashed out at Elon Musk, accusing the world's richest man of "killing the world's poorest children" through huge cuts to the U.S. foreign aid budget.
- 9 May 2025 - Kenya’s Ambassador to Belgium, Prof. Bitange Ndemo, has declined his appointment as the new Vice Chancellor of the University of Nairobi (UoN), citing procedural irregularities.
- 9 May 2025 - Former US president Joe Biden said Thursday he was not surprised Kamala Harris lost the 2024 election to Donald Trump and blamed her defeat on Republicans taking the "sexist route."
- 9 May 2025 - The EU on Thursday threatened to target US cars and planes among a raft of products worth 95 billion euros (Ksh.13.89 trillion) if negotiations with President Donald Trump's team fail to avert a trade war.
- 9 May 2025 - Former Kiambu governor wanted to be released from prison on bond pending hearing of his appeal
- 9 May 2025 - The latest accident adds to the number of road crashes witnessed across the country this week.
- 9 May 2025 - The CS has been summoned to appear before the panel on Thursday next week
- 9 May 2025 - Move comes as Kenya Power also claims billions in power dues
- 9 May 2025 - His appointment had been confirmed by the University of Nairobi Council.
- 9 May 2025 - Here is what you need to know to keep up to speed with today’s happenings. Reactions as new Pope is elected Reactions are expected following the election of the 267th Pope of the Catholic Church, set to serve until he dies in office. Robert Prevost, 69,…