Mwenyekiti Mstaafu Freeman Mbowe ameutaka uongozi huo mpya kuunda tume ya ukweli na upatanishi ili kurudisha umoja ndani ya chama hicho uliopotea wakati wa kampeni za uchaguzi.
Wakili Tundu Lissu ameshinda nafasi ya Mwenyekiti kwa kupata Kura 513, sawa na asilimia 51.5, akimshinda aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe ambaye amepata kura 482, sawa na asilimia 48.3, huku Odero Charlse akipata kura 1 sawa na asilimia 0.1.
Hata hivyo mwenyekiti huyo Mpya Wakili Tundu Lisu amesema uchaguzi ulikuwa huru na kuvitaka vyama vyengine vya upinzani na chama tawala kuiga mfano kutoka kwao.
Ripoti ya mwandishi wa VOA, Amri Ramadhani.
#uchaguzi #chadema #mwenyekiti #makamu #tundulissu #freemanmbowe #voa #voaswahili
21 Mar 2025
- A chief from Wajir County and a Huduma Centre official have been charged at the Milimani Anti-Corruption Court for allegedly tampering with national identity details.
21 Mar 2025
- The Council of Governors (CoG) has threatened to suspend services in county governments within 14 days if allegedly diverted funds to the devolved units are not immediately restored.
21 Mar 2025
- The Court of Appeal has declined to suspend a High Court ruling that declared the Azimio party as the majority in the National Assembly, dealing a blow to Speaker Moses Wetangula’s efforts to overturn the decision.
21 Mar 2025
- The National Treasury Cabinet Secretary has been ordered to submit records of all payments made from the Consolidated Fund to the East African Development Bank (EADB) since 2014.
21 Mar 2025
- The government is facing calls to abandon its ambitious plan to secure thousands of diaspora jobs for Kenyans and instead implement stronger protections against exploitation for those working abroad.
21 Mar 2025
- He played the role of a 'caring neighbor,' offering a helping hand whenever there was a need. He attended a local church, where he discussed his strong Christian beliefs.