Uongozi mpya wa CHADEMA waagizwa kuunda haraka Tume ya Ukweli na Upatanishi
Mwenyekiti Mstaafu Freeman Mbowe ameutaka uongozi mpya kuunda tume ya ukweli na upatanishi ili kurudisha umoja ndani ya chama hicho uliopotea wakati wa kampuni.
Wakili Tundu Lissu ameshinda nafasi ya Mwenyekiti kwa kupata Kura 513, sawa na asilimia 51.5, akimshinda aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe ambaye amepata kura 482, sawa na asilimia 48.3, huku Odero Charlse akipata kura 1 sawa na asilimia 0.1.
Hata hivyo mwenyekiti huyo Mpya Wakili Tundu Lisu amesema uchaguzi ulikuwa huru na kuvitaka vyama vyengine vya upinzani na chama tawala kuiga mfano kutoka kwao.
Ripoti ya mwandishi wa VOA, Amri Ramadhani.
#uchaguzi #chadema #mwenyekiti #makamu #tundulissu #freemanmbowe #voa #voaswahili
21 Mar 2025
- The ruling comes after Speaker Wetangula challenged the High Court decision that declared Azimio as the majority in parliament.
21 Mar 2025
- The scam comes as farmers gear up for the planting season.
21 Mar 2025
- The development marks a significant step towards transforming snakebite treatment
21 Mar 2025
- The Court of Appeal has declined to suspend a High Court ruling that declared the Azimio party as the majority in the National Assembly, dealing a blow to Speaker Moses Wetangula’s efforts to overturn the decision.
21 Mar 2025
- The National Treasury Cabinet Secretary has been ordered to submit records of all payments made from the Consolidated Fund to the East African Development Bank (EADB) since 2014.
21 Mar 2025
- The government is facing calls to abandon its ambitious plan to secure thousands of diaspora jobs for Kenyans and instead implement stronger protections against exploitation for those working abroad.
21 Mar 2025
- With President William Ruto nominating new Principal Secretaries (PS) on Thursday, critics have raised concerns about the growing size of the Kenya Kwanza government and the heavy cost it places on taxpayers.
21 Mar 2025
- Sudan's army said it recaptured the presidential palace in the capital Khartoum from the paramilitary Rapid Support Forces on Friday after a fierce battle.
21 Mar 2025
- The ruling comes after Speaker Wetangula challenged the High Court decision that declared Azimio as the majority in parliament.
21 Mar 2025
- The scam comes as farmers gear up for the planting season.
21 Mar 2025
- At least 18 journalists were violently attacked by Ugandan armed forces while covering a by-election, Reporters Without Borders (RSF) said late on Thursday.
21 Mar 2025
- The development marks a significant step towards transforming snakebite treatment
21 Mar 2025
- Takamoto praying for dry conditions in Naivasha