- 354 views
Licha ya kuwepo kwa utashi wa viungo muhimu vya binadamu nchini, Kenya bado haijaridhia swala la watu kutoa viungo vyao kutumika baada ya kuaga dunia. Katika hospitali ya mafunzo na rufaa ya moi zaidi ya wagonjwa mia tatu wa macho wanahitaji konea. Ukosefu wa konea unamaanisha huenda wasipate uwezo wa kuona ila kwa wenye uwezo watalazimika kununua kutoka taifa la Marekani ambako watu hutoa konea zao kutumika tena wakishaaga dunia. Mahojiano na daktari mkuu wa macho katika hospitali ya Moi anayesema wakati umefika wakenya kuiga mfano wa marekani wa kusaidia wagonjwa. je inawezekana?
Upandikizaji wa konea wafanikishwa katika hospitali ya Moi Eldoret
- 27 Jul 2024 - G20 finance ministers are expected to take a first step towards international cooperation on taxing the super-rich Friday, with a deal in Brazil likely to call for individual nations to strengthen their own measures, rather than delivering a set of…
- 27 Jul 2024 - Residents say despite receiving valid court orders, private developers continue their activities unabated
- 27 Jul 2024 - The entities increased their spending by Sh591 million
- 27 Jul 2024 - Audit flags losses at the companies which are heavily in debt
- 27 Jul 2024 - The changes allowed state officers and their families to do business with the government.
- 27 Jul 2024 - Western Kenya and parts of Rift Valley will continue to have rains in the morning.
- 27 Jul 2024 - When news broke that the man had lost his job, staffers broke into excited dance.
- 27 Jul 2024 - Kalonzo now set to lose out on Raila's political support
- 27 Jul 2024 - Panic in Kihiu Mwiri as residents face eviction
- 27 Jul 2024 - Teachers' pay rise plan in limbo as Treasury cuts Sh10b from budget