- 8,978 views
Vinara wa upinzani wamemkashifu rais William Ruto kwa msamaha alioutoa jana kwa vijana nchini kwa madhila waliyopitia kufuatia maandamano ya kizazi cha Gen Z, wakidai kwamba msamaha huo ulikuwa wa unafiki. Vinara hao ambao wamezungumza nyumbani kwake kinara wa wiper Kalonzo Musyoka huko Tseikuru kaunti ya Kitui, wamemtaka Rais kuashiria kwa vitendo kughadhabishwa kwake na matukio ya mwaka uliopita kwa kuhakikisha walioumia na wale waliofariki wamepata haki la sivyo msamaha alioomba hauna msingi. Katika kikao cha Leo kilicholeta pamoja vinara wa vyama tofauti, aliyekuwa Naibu rais Rigathi Gachagua amemtaka aliyekuwa bosi wake kujiandaa kufunganya virago vya kuondoka ikuluni mapema, akidai kuwa kikosi hicho tayari kimeandaa mipango kabambe ya kumtimua.
Upinzani wasema utamwondoa Rais Ruto mamlakani
- 30 May 2025 - The government through the Betting Control and Licensing Board (BCLB) has introduced strict measures on gambling advertisements to promote responsible gambling and protect minors from being exploited.
- 30 May 2025 - The National Police Service (NPS) has notified the public of a traffic gridlock between Emali and Masimba along the Nairobi-Mombasa Highway following a fatal accident involving three trailers.
- 30 May 2025 - 'The civil service should avoid creating the impression of political bias.' - Lawyer Lempaa
- 30 May 2025 - The Ministry of Agriculture has moved to mop up the entire stock of rice from farmers under the Mwea Irrigation Scheme to meet the growing demand for the commodity in the country.
- 30 May 2025 - The Directorate of Criminal Investigations (DCI) has issued a public alert seeking information on the whereabouts of Alosi Rodgers Ochieng', who is wanted in connection with a major theft case.
- 30 May 2025 - An inter-agency communication strategy meeting bringing together institutions within the Criminal Justice System is ongoing in Mombasa County. The meeting with various heads of communication is aimed at strengthening inter-agency collaboration and…
- 30 May 2025 - Busia County senator Okiya Omtatah has petitioned the Kenyan Senate to protect the New Generation Muthea Antivenom, an indigenous remedy developed in Wamunyu, Machakos County. While presenting the petition, he called for urgent measures to shield the…
- 30 May 2025 - Why Finance Bill is not an Annual Constitutional requirement in Kenya
- 30 May 2025 - Ngugi's visit to UoN on his 2004 return from exile, in the eyes of a student leader
- 30 May 2025 - Ngugi's literary war and why he chose Kikuyu