Skip to main content
Skip to main content

Uporaji wa SH: Rais Ruto asema hospitali zitafunguliwa mashtaka

  • | Citizen TV
    7,380 views
    Duration: 1:04
    Rais William Ruto amesema hospitali elfu moja ambazo leseni zao zimefutwa kwa kujaribu kunufaika kwa udanganyifu kupitia Mamlaka ya Afya ya Jamii (SHA) zitafunguliwa mashtaka