- 72 viewsMamia ya wafanyakazi wa idara ya zima moto wamekuwa wakipambana na moto wa msituni unaoendelea kuwaka kusini mwa Ureno ambao tayari umetekekeza maelfu ya hekta za ardhi na kuwalazimsha watu 1 400 kuondoka katika makazi yao ikiwa ni hatua ya tahadhari. Wazima moto elfu 8 kwa hivi sasa wanapambana na moto huo wa msituni ulioanza Agosti 5 katika tarafa ya Odemira kwenye jimbo la Alentejo. Lakini tangu kuanza kuwaka umeshaenea kusini kuelekea Algarve moja ya vivutio vya utalii nchini Ureno. Joto kali na upepo umesababisha hali kuwa ngumu kupambana na moto ambao umeshaharibu hekta 6 700 za msitu. Mataifa ya kusini mwa Ulaya kama Ureno yamekabiliwa na hali mbaya ya moto wa msitu kutokana hasa na hali ya joto ambayo haijawahi kushuhudiwa wakati wa kilele cha msimu wa utali, na kuwasababisha maafisa kutoa tahadhari ya afya. #moto #wazimamoto #idara #misitu #uharibifu #ardhi #ureno #utalii #joto #voa #voaswahili - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Ureno: Moto waharibu maelfu ya hekta za ardhi, msitu, na eneo la utalii
- 21 Jul 2025 - The Cabinet Secretary for Treasury John Mbadi has told off people criticizing president William Ruto’s regime saying that they should point out what did not happen during the previous regime.
- 21 Jul 2025 - There have been speculations about Raila's political path for 2027.
- 21 Jul 2025 - Activist Boniface Mwangi is set to be arraigned in court Monday over alleged facilitation of terrorist activities during the June 25 protests. According to a statement, Mwangi was arrested Saturday by detectives at his residence in Lukenya in Machakos…
- 21 Jul 2025 - The ODM leader has proposed a number of IEBC reforms.
- 21 Jul 2025 - The Teachers Service Commission (TSC) has issued a warning about a scam involving fraudsters selling fake TSC employment letters and registration certificates to unsuspecting job seekers. In a statement, the commission said the conmen are charging hefty…
- 21 Jul 2025 - Devolved units to begin receiving their shares from next month.
- 21 Jul 2025 - Businessman Zedekiah Kiprop Bundotich, popularly known as Buzeki, has criticised the government following the arrest of activist Boniface
- 21 Jul 2025 - Circumstances surrounding the crash are not yet fully established.
- 21 Jul 2025 - Only one-third of the Sustainable Development Goals (SDGs) are currently on track to be met, prompting the United Nations to declare a global development emergency. Progress has either stagnated or reversed in several key areas, including poverty,…
- 21 Jul 2025 - Alvin,15, was confirmed dead, his body lying unclaimed at the Nakuru Level Five Hospital mortuary.