Urusi-Ukraine : Mtoto afanyiwa upasuaji gizani baada ya makombora kurushwa Kyiv
Mnamo tarehe 23 Novemba, wakati makombora ya Urusi yalipopiga mji mkuu wa Ukraine, Taasisi ya Moyo ya Kyiv iliachwa bila umeme. Timu ya madaktari iliendelea kufanya kazi licha ya kukatikakwa umeme; kumfanyia mtoto upasuaji wa moyo chini ya mwanga hafifu wa tochi za LED za mkononi na usaidizi fulani kutoka kwa jenereta. Wakati wa siku ya shambulio hilo, hospitali ilifanikiwa kukamilisha upasuaji 10 wa kufungua moyo. BBC ilizungumza na Profesa Borys Todurov, ambaye anaongoza timu hizo zilipokuwa zikifanya kazi karibu na giza.
#ukraine #bbcswahili #afya
21 Aug 2025
- Hundreds of households have been displaced by the floods.
21 Aug 2025
- Non-compliant businesses are at risk of fines of up to Ksh4 million, or imprisonment for one to two years.
21 Aug 2025
- Motorists have been made aware of traffic measures put in place to ensure seamless movement of fans and emergency services.
21 Aug 2025
- The Elimu Bora Working Group is demanding that President William Ruto make public the report and recommendations of the presidential working party on education reform.
21 Aug 2025
- Public Service Ministry Unveils Bold Reforms, Eyes Future-Ready Civil Service
21 Aug 2025
- Hundreds of households have been displaced by the floods.
21 Aug 2025
- Non-compliant businesses are at risk of fines of up to Ksh4 million, or imprisonment for one to two years.
21 Aug 2025
- Motorists have been made aware of traffic measures put in place to ensure seamless movement of fans and emergency services.
21 Aug 2025
- The woman was added to the FBI's "10 Most Wanted" list in 2023
21 Aug 2025
- Following the notice, the employees have less than three months to prepare.
21 Aug 2025
- Ruling comes after prosecution requested extra time to review Boniface Mwangi’s devices
21 Aug 2025
- Regular tickets go for Sh 8,000, VIP tickets for Sh 15,000, while the Platinum experience is available through reservations via +254 700 114 111 or email [email protected].
21 Aug 2025
- Instead of proceeding to Kamukunji, his allies, led by Nyandarua Senator John Methu, took the stage, with Methu issuing a fiery warning to President William Ruto.