- 41 views
Aliyekuwa naibu msajili mkuu wa idara ya mahakama Francis Kakai Kissinger ameliambia jopo linalowahoji watahiniwa wa nyadhifa mbalimbali katika tume ya IEBC kwamba alisimamishwa kazi na mahakama kwa kuidhinisha uchunguzi wa kesi ya sakata ya ufisadi ya shilingi milioni 300 mnamo mwaka 2015. Kissinger aliyekuwa miongoni mwa wawaniaji wanne waliohojiwa leo, alikanusha kuhusika na kesi hiyo ambapo ilipendekezwa afunguliwe mashtaka akiwa pamoja na aliyekuwa msajili mkuu wa idara ya mahakama wakati huo Gladys Boss Shollei kuhusiana na ununuzi wenye utata wa jumba la kifahari mtaani Runda la aliyekuwa jaji mkuu wakati huo. Abdiaziz Hashim ana maelezo ya kina kuhusu mahojiano hayo ya wadhifa wa uenyekiti wa tume hiyo ya uchaguzi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Usaili wa mwenyekiti wa IEBC waingia siku ya pili
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 9 May 2025 - Ukraine's parliament voted Thursday to ratify a long-awaited minerals deal with the United States, an agreement Kyiv hopes will pave the way for future military support from Washington.
- 9 May 2025 - Rwanda's economy is forecast to grow at a slower pace this year than in 2024, while government spending for the 2025/26 fiscal year is expected to rise by about a fifth, Finance Minister Yusuf Murangwa said on Thursday.
- 9 May 2025 - Bill Gates pledged on Thursday to give away Ksh.25.8 trillion via his charitable foundation by 2045 and lashed out at Elon Musk, accusing the world's richest man of "killing the world's poorest children" through huge cuts to the U.S. foreign aid budget.
- 9 May 2025 - Kenya’s Ambassador to Belgium, Prof. Bitange Ndemo, has declined his appointment as the new Vice Chancellor of the University of Nairobi (UoN), citing procedural irregularities.
- 9 May 2025 - Former US president Joe Biden said Thursday he was not surprised Kamala Harris lost the 2024 election to Donald Trump and blamed her defeat on Republicans taking the "sexist route."
- 9 May 2025 - 12 people died Thursday evening in a grisly accident at Arimi area along the Njoro –Elburgon Road.
- 9 May 2025 - Erastus Ethekon was nominated by President William Ruto upon the recommendation of the IEBC selection panel.
- 9 May 2025 - The EU on Thursday threatened to target US cars and planes among a raft of products worth 95 billion euros (Ksh.13.89 trillion) if negotiations with President Donald Trump's team fail to avert a trade war.
- 9 May 2025 - Slain Kasipul MP Charles Ong'ondo Were will be buried today (Friday) at his home in Kachien village in Kasipul constituency.
- 9 May 2025 - The results signaled that more Kenyans are paying taxes despite economic pushbacks.