- 24,429 viewsDuration: 3:04Baada ya miaka sita ya kesi ya mauaji ya mfanyabiashara Tob Cohen, ushahidi mpya umejitokeza wakati wa kesi hiyo katika mahakama ya Kibra hapa Nairobi. Mjane wa marehemu Sarah Wairimu Kamotho sasa anakabiliwa na mashtaka mapya ya mauaji, huku waendesha mashtaka wakitoa maelezo ya matukio yaliyosababisha kifo cha Cohen mwaka wa 2019.