- 424 views
Wavulana wawili akiwemo binamu wa mshukiwa mkuu katika mauaji ya mwanamitindo na mtetezi wa watu wa jinsia moja Edwin Chiloba wameambia mahakama kwamba walimsaidia mshukiwa Jackton Odhimbo kubeba sanduku la chuma ambalo lilikuwa na mwili wa Chiloba.Walipokuwa wakitoa ushahidi wakati wa kusikizwa kwa kesi mbele ya Jaji Reuben Nyakundi katika Mahakama Kuu mjini Eldoret, wawili hao wenye umri wa miaka 17 waliieleza mahakama kuwa walimsaidia Odhiambo kupakia sanduku kwenye gari mnamo Januari 3.Hata hivyo, mashahidi hao walikiri kuwa hawakufungua kisanduku hicho na wala hawakujua kilichomo ndani yake hadi siku kadhaa baadae walipohojiwa na maafisa wa DCI na kuonyeshwa picha za mwili wa marehemu Chiloba kwenye sanduku hilo .
Ushahidi watolewa kuhusu mauaji ya Edwin Chiloba
- - Duniani Leo ››
- 14 Aug 2025 - Police officers in Garissa County have apprehended a female suspect who was found in possession of a firearm stolen during a violent robbery reported at Garissa Police Station on 5th August 2025.
- 14 Aug 2025 - The news came during Wednesday's episode of the "New Heights Show," a podcast fronted by her boyfriend, Kansas City Chiefs player Travis Kelce, and his brother Jason.
- 14 Aug 2025 - A study of five common Australian species, including kookaburras, magpies and lorikeets, found around six percent of birds had the chromosomes of one sex but the reproductive organs of another.
- 14 Aug 2025 - Putin and Trump will meet Friday at an air base in the far-northern US state, the first time the Russian leader has been permitted on Western soil since his February 2022 invasion of Ukraine which has killed tens of thousands of people.
- 14 Aug 2025 - Under the watchful eye of M23 rebels in the hills around the Congolese town of Rubaya, a line of men in rubber boots ferry sacks full of crushed rocks up winding paths cut into the slopes.
- 14 Aug 2025 - Uganda's biggest opposition party on Wednesday filed a case in the constitutional court to nullify a newly enacted law that reinstated the right of military tribunals to try civilians, a lawyer and party official said.
- 14 Aug 2025 - A federal appeals court on Wednesday lifted an injunction that required the U.S. State Department to continue making foreign aid payments, handing a victory to President Donald Trump.
- 14 Aug 2025 - Bethwel Chesir was allegedly abducted on August 7.
- 14 Aug 2025 - The venue for the high-profile meeting is Joint Base Elmendorf-Richardson - a US military installation in Alaska.
- 14 Aug 2025 - Senator Ali Roba said Mandera Town is under constant threat from Somalia’s endless wars.