- 25 views
Serikali imehimizwa kutenga za kuwawezesha vijana kuwa msitari wa mbele katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya hali ya anga. Akiongea kwenye mkutano uliowaleta pamoja vijana katika kaunti ya Nairobi, mwenyekiti wa baraza la kitaifa la ushauri kwa vijana, Brenda Aluoch alisema ukosefu wa mifumo dhabiti ya kusaidia vijana, uhaba wa ufadhili na taarifa zinazohitajika kuhusu nafasi zilizopo vimedumiza juhudi za vijana kushiriki kikamilifu kwenye miradi ya kukabiliana na athari za tabianchi.Aidha vijana walihimiza serikali kuweka mikakati ya kukabiliana na majanga hasa wakati huu wa mvua ya masika wakisema ajenda ya vijana inapaswa kushirikishwa katika mpango jumuishi wa kukabiliana na mabadiliko ya hali ya anga
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Ushirikishi wa vijana kwenye miradi ni muhimu kwa kudhibiti tatizo la tabianchi
- 18 Apr 2025 - Two joint Somali-U.S. airstrikes killed 12 al Shabaab militants in central Somalia and destroyed a ship carrying weapons for the al Qaeda-linked group, the Somali government said on Thursday, following recent advances by the Islamists.
- 18 Apr 2025 - A still-convalescing Pope Francis said Thursday he was doing "as best I can" as he visited inmates at Rome's central jail before Easter.
- 18 Apr 2025 - Matiang'i has been engaged as an employee of the World Bank based in Washington DC.
- 18 Apr 2025 - In a region long plagued by service delivery delays and missed opportunities, a quiet but impactful shift is taking place, ushered in not with grand fanfare but through technology that now delivers national identity cards within just seven days. While…
- 18 Apr 2025 - Sudan has implored MPs to use their constitutional mandate to stop President William Ruto from interfering with its internal affairs. Sudan, while lamenting the hosting of the Rapid Support Forces (RSF), alleged that Kenya is set to invite the…
- 18 Apr 2025 - PS Oluga faces SHA challenges as he takes over office
- 18 Apr 2025 - Power plant to include irrigation, says CS Opiyo Wandayi
- 18 Apr 2025 - Ruto: I will not stop giving money to churches
- 18 Apr 2025 - Fund bleeding disease to save lives, government urged
- 18 Apr 2025 - Why Mediheal wants DW to pull down kidney story and apologise