- 25 views
Serikali imehimizwa kutenga za kuwawezesha vijana kuwa msitari wa mbele katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya hali ya anga. Akiongea kwenye mkutano uliowaleta pamoja vijana katika kaunti ya Nairobi, mwenyekiti wa baraza la kitaifa la ushauri kwa vijana, Brenda Aluoch alisema ukosefu wa mifumo dhabiti ya kusaidia vijana, uhaba wa ufadhili na taarifa zinazohitajika kuhusu nafasi zilizopo vimedumiza juhudi za vijana kushiriki kikamilifu kwenye miradi ya kukabiliana na athari za tabianchi.Aidha vijana walihimiza serikali kuweka mikakati ya kukabiliana na majanga hasa wakati huu wa mvua ya masika wakisema ajenda ya vijana inapaswa kushirikishwa katika mpango jumuishi wa kukabiliana na mabadiliko ya hali ya anga
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Ushirikishi wa vijana kwenye miradi ni muhimu kwa kudhibiti tatizo la tabianchi
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 9 May 2025 - Ukraine's parliament voted Thursday to ratify a long-awaited minerals deal with the United States, an agreement Kyiv hopes will pave the way for future military support from Washington.
- 9 May 2025 - Rwanda's economy is forecast to grow at a slower pace this year than in 2024, while government spending for the 2025/26 fiscal year is expected to rise by about a fifth, Finance Minister Yusuf Murangwa said on Thursday.
- 9 May 2025 - Bill Gates pledged on Thursday to give away Ksh.25.8 trillion via his charitable foundation by 2045 and lashed out at Elon Musk, accusing the world's richest man of "killing the world's poorest children" through huge cuts to the U.S. foreign aid budget.
- 9 May 2025 - Kenya’s Ambassador to Belgium, Prof. Bitange Ndemo, has declined his appointment as the new Vice Chancellor of the University of Nairobi (UoN), citing procedural irregularities.
- 9 May 2025 - Former US president Joe Biden said Thursday he was not surprised Kamala Harris lost the 2024 election to Donald Trump and blamed her defeat on Republicans taking the "sexist route."
- 9 May 2025 - The EU on Thursday threatened to target US cars and planes among a raft of products worth 95 billion euros (Ksh.13.89 trillion) if negotiations with President Donald Trump's team fail to avert a trade war.
- 9 May 2025 - Pope's old tweets spark MAGA outrage. His past social media posts critical of Trump and JD Vance.
- 9 May 2025 - Pope Leo XIV was elected on Thursday, May 8, replacing the late Pope Francis as the head of the Catholic church.
- 9 May 2025 - Former Kiambu governor wanted to be released from prison on bond pending hearing of his appeal
- 9 May 2025 - The latest accident adds to the number of road crashes witnessed across the country this week.