- 202 views
Katibu katika wizara ya fedha Chris Kiptoo leo alasiri alikuwa na wakati mgumu mbele ya wabunge, alipotakiwa kutoa maelezo kuhusu mkataba wa mabilioni ya pesa wa kuboresha uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta uliopendekezwa, ambao utashuhudia uwekezaji wa kampuni ya Adani Holdings limited ikiudhibiti kwa kipindi cha miaka 30 ijayo. Jibu la katibu huyo kwamba maelezo kuhusu mkataba huo yatawekwa wazi kwa umma baada ya kuhitimishwa na wizara ya fedha, uliwakera wanachama wa kamati ya bunge kuhusu deni la umma na ubinafsishaji waliotaka mkataba huo kusitishwa hadi maelezo sahihi yatakapowekwa paruwanja. Abdiaziz Hashim na taarifa kamili.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Usimamizi wa JKIA I Bunge lataka mkataba huo usimamishwe
- 1 Jul 2025 - Critical shortfalls in global humanitarian funding now threaten millions of Sudanese refugees fleeing war to seek refuge in neighbouring countries, the UN World Food Programme (WFP) said on Monday.
- 1 Jul 2025 - Vihiga Governor Wilber Ottichillo has warned private pharmacy operators against selling drugs stolen from public health facilities. Ottichilo said he would be forced to deal with those who will be found selling stolen drugs decisively and firmly. “I…
- 1 Jul 2025 - The government is now appealing to parents, religious leaders, and community elders to take a more proactive role in guiding young Kenyans toward peaceful and lawful means of civic engagement.
- 1 Jul 2025 - The decision, made amid mounting public pressure on the state's response to the unrest, was confirmed in a statement issued Monday by Health Cabinet Secretary Aden Duale.
- 1 Jul 2025 - The autopsies, conducted at Kilome MNH Hospital Mortuary, revealed that Garson Mutisya, 33, and Makau Mualuko, 23, sustained fatal gunshot wounds to the chest, with the bullets exiting through their backs.
- 1 Jul 2025 - A 92-year-old British man was convicted on Monday for a rape and murder committed nearly 60 years ago, in one of the UK's longest-running cold cases.
- 1 Jul 2025 - Measles, typhoid outbreaks spur vaccination drive
- 1 Jul 2025 - Grief as Boniface Kariuki dies from gunshot injuries after 12 days in ICU
- 1 Jul 2025 - Isiolo governor's impeachment escalates to full Senate plenary
- 1 Jul 2025 - For Nairobi United to rise, mighty Gor Mahia had to fall