Uuzaji wa vyuma Malakisi,Bungoma.
Kizaaza kilishuhudiwa katika afisi ya meneja mkuu wa kiwanda cha pamba Malakisi baada ya mbunge wa Sirisia John Waluke, pamoja na mkuu wa wilaya kufika eneo hilo na kutaka ufahamu kuhusu uuzaji wa vyuma kuu bila idhini kutoka kwa wenyeji.
Akizungumza alipozuru eneo hilo, Waluke alimtimua meneja huyo na lori la mfanyibiashara wa vyuma vikuu kuzuiliwa hadi malipo ya shilingi milioni tano anayodaiwa kulipwa. mbunge huyo alisema kiwanda hicho kitafufuliwa na serikali akidokeza kuwa rais william ruto atazuru eneo hilo hivi karibuni.
30 Apr 2025
- The lawmaker was gunned down within Nairobi city.
30 Apr 2025
- Kenya has been facing increased cases of suicide.
30 Apr 2025
- He joins the long list of Raila's allies that have benefitted in the broad-based govt.
1 May 2025
- Ukraine expects to sign a much-anticipated minerals deal with the United States in "the next 24 hours", Prime Minister Denys Shmygal said Wednesday, as both sides finalised details.
1 May 2025
- Israeli Defence Minister Israel Katz ordered troops to deploy on Wednesday to support firefighters battling rapidly spreading wildfires near Jerusalem, calling the situation a "national emergency".
1 May 2025
- US President Donald Trump said Wednesday he was considering legal action against the New York Times, in his latest attack on a major media outlet.
1 May 2025
- The government is revving up revenue collection efforts with increased pursuit of businesses and the creative economy to meet its tax targets. It has warned that a significant number of companies in the country risk losing their registration permits,…
1 May 2025
- How workers are coping with widening wage, costs gap
1 May 2025
- Tributes pour in for Kasipul MP Ong'ondo Were shot dead in Nairobi
1 May 2025
- Taking advantage of Labor Day to boost employee morale, organisational brand
1 May 2025
- VC with nine lives as Prof Paul Wainaina returns to KU
1 May 2025
- Workers suffer as Atwoli 'too young' to retire at 75
1 May 2025
- Intrigues on Gachagua's party and fate of allied MPs