Vifaru vya Israeli vikifanya mashambulizi karibu na mpaka wa Israel na Gaza
Mashambulizi ya Israeli yamepiga katikati ya Gaza Jumanne (Desemba 26) baada ya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu kuahidi kutositisha mashambulizi dhidi ya Hamas, huku wakazi wa pwani wakiomboleza vifo zaidi katika vita ambavyo vimeuwa zaidi ya Wapalestina 20,000.
Israel imedhamiria kuendelea mpaka ifikie lengo lake la kuiangamiza Hamas licha ya wito wa kimataifa kuwepo kwa kusitishwa mapigano katika wiki ya 11 ya vita hivyo, huku wasiwasi kuhusu mgogoro huu kuweza kuenea ukiyahusisha majeshi ya Marekani na Iran kushambuliana sehemu nyingine katika eneo hilo.
Tangu Hamas ilipofanya shambulizi la kinyama dhidi ya Israel katika historia ya miaka 75 ya nchi hiyo, Netanyahu amejibu shambulizi hilo kwa nguvu zote za kivita dhidi ya eneo la Gaza linalotawaliwa na Hamas.
Siku ya Jumanne, majeshi ya Israeli yalisema wanajeshi wake 160 hadi sasa wameuawa huko Gaza tangu operesheni ya kijeshi ya ardhini ilipoanza Oktoba 20. - Reuters
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #GadiEizenkot #wazirimkuu
9 May 2024
- Real estate experts often advise Kenyans to visit areas they would want to live in when it rains to best assess the living conditions. Here is where to start.
9 May 2024
- The request came in and contradicted earlier reports made to the UN.
9 May 2024
- The police officer became disgruntled after both of his wives left their matrimonial home following the dispute.
10 May 2024
- The leader of Yemen's Houthis, Abdul Malik al-Houthi, said on Thursday the group would target ships of any company related to supplying or transporting goods to Israel regardless of their destination.
10 May 2024
- Stormy Daniels returned to the witness stand on Thursday at Donald Trump's historic hush money trial with attorneys for the former president seeking to paint her as a greedy liar who profited from her allegations.
10 May 2024
- Israeli tanks and warplanes bombarded areas of Rafah on Thursday, Palestinian residents said, after U.S. President Joe Biden vowed to withhold weapons from Israel if its forces launch a major invasion of the southern Gaza city.
10 May 2024
- Civilian contractors have arrived in Haiti to build living quarters for a Kenyan-led international security force meant to counter gang violence in the Caribbean nation, the U.S. military's Southern Command said.
10 May 2024
- Somalia's government has requested the termination of a U.N. political mission that has advised it on peace-building, security reforms and democracy for over a decade, according to a letter the foreign minister wrote to the Security Council.
10 May 2024
- Relatives of 44 construction workers trapped under a collapsed building in the South African city of George faced a fourth day of anguished waiting on Thursday as heavy machinery worked at the site in a race against time to find any survivors.
9 May 2024
- Despite the resumption of doctors to their workstations in public hospitals, health services are yet to normalize in most facilities with clinical officers and medical laboratory officers still on strike.
9 May 2024
- Quarcoo says he dedicates the award to hundreds of journalists In Africa
9 May 2024
- President William Ruto has called for a strong commitment from all parties in the South Sudan peace process to achieve lasting and sustainable peace.
9 May 2024
- It is more cost-effective to provide Kenyans with free tree seedlings during the rainy season than organising major events.