Skip to main content
Skip to main content

Vijana wa Kajiado wametakiwa kutunza Mazingira

  • | Citizen TV
    210 views
    Duration: 3:22
    Vijana Kajiado wametakiwa kuwa katika mstari wa mbele kutunza mazingira kwa kuendeleza mbinu bora za ufugaji ambazo haziharibu mazingira. Hatua hiyo zitasaidia kupiga jeki juhudi za kukabiliana na mabadiliko ya hali ya anga.Vijana hao pia wametakiwa kukomesha ukataji wa miti kiholela