Ni miezi miwili sasa tangu maandamano ya vijana wa Gen Z nchini Kenya kushuhudiwa, wengi wakitaka uwajibikaji serikalini.
Maandamano hayo yamefifia kwa sasa, lakini baadhi ya wananchi wanaongeza shinikizo kwa serikali kupitia mbinu mbalimbali.
Willie Oeba yeye amekuwa akifikisha ujumbe kwa kutoa burudani katika maeneo kama kwenye ndege na mabasi.
Je hatua hii ya vijana katika siasa italeta mabadiliko ya kweli?
Mwandishi wa BBC @pmwangangi_ ameandaa taarifa hii.
🎥: @brianmala & @frankmavura
#bbcswahili #kenya #GENZ
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
1 Jul 2025
- Principal Magistrate Judicaster Nthuku on Monday ruled that each of the suspects be released on a personal bond of Ksh.100,000 with two sureties of a similar amount.
1 Jul 2025
- During a media briefing on Monday, Amin defended his earlier statement to the Senate, claiming that his account of the events leading up to Ojwang's death was a verbatim reading of entries from official police records, not a personal interpretation or…
1 Jul 2025
- The Ksh.505 million corruption case against former Migori Governor Okoth Obado, four of his children, and several co-accused resumed today before the Anti-Corruption Court.