Skip to main content
Skip to main content

Vijana wachukua hatua kupitia kampeni ya mitandao kuhamasishana kuhusu usajili wa kura na elimu ya u

  • | Citizen TV
    407 views
    Duration: 2:52
    Vijana leo walijitokeza katika uwanja wa Kasarani huku wakiendeleza kampeni ya kuwataka vijana zaidi kujisajili kuwa wapiga kura kwa maandalizi ya uchaguzi mkuu ujao. Kampeni hiyo ya 'tuko kadi' ikiwataka vijana kujitayarisha kuchagua viongozi bora mwakani