Skip to main content
Skip to main content

Vijana washauriwa kujihusisha na kilimo kuongeza chakula Homa Bay

  • | Citizen TV
    281 views
    Duration: 3:06
    Huku ulimwengu ukisherekea siku ya chakula ulimwenguni, vijana wameshauriwa kujihusisha na kilimo, sio tu kama njia ya kujiajiri bali pia kuinua uchumi na kuhakikisha lishe bora kwa jamii. Ndio kauli mbiu iliyodadisiwa kwa kina kwenye komgamano la siku ya chakula ulimwenguni lililoandaliwa huko kendu bay, kaunti ya Homa Bay.