Skip to main content
Skip to main content

Vijana zaidi ya laki moja unusu kupewa KSH. 50,000 kutoka mradi wa NYOTA

  • | Citizen TV
    1,562 views
    Duration: 2:55
    Shughuli ya kuwachagua vijana zaidi ya laki moja unusu watakaopewa shilingi elfu hamsini za kuanzisha biashara ndogo chini ya hazina ya nyota itaendelezwa katika kaunti ya Taita Taveta Jumatatu wiki ijayo huku zoezi hilo likikamilika katika kaunti zingine 46.