- 168 views
Viongozi katika kaunti ya Tana River wameirai serekali kuu kutenga fedha za kufadhili ukarabati wa miundomsingi katika shule zilizoharibiwa na maji ya mafuriko. Akizungumza katika shule ya msingi ya Makere, eneo bunge la Galole, Mbunge wa Galole Said Hiribae amesema kuwa itakuwa vigumu kutimiza wito wa rais wa kujenga shule zilizoharibiwa na mafuriko endapo pesa za dharura hazitatengwa katika bajeti ya mwaka 2024/25. Zaidi ya wanafunzi 3,000 katika eneo bunge hilo kufikia sasa hawana pa kuendeleza masomo yao.
Viongozi Tana River wameirai serikali kutenga pesa za kukarabati shule zilizoharibiwa na mafuriko
- 15 Jun 2024 - The Group of Seven wealthy democracies announced Thursday that it would provide Kyiv with tens of billions of dollars in loans that will be paid back to Western allies using interest income from Russian assets frozen in Western financial institutions.
- 15 Jun 2024 - The Teachers Service Commission (TSC) has replaced some of the 742 Junior Secondary School (JSS) teachers recently fired across the country.
- 14 Jun 2024 - President William Ruto has joined Pope Francis in calling for an urgent end to violence in all parts of the world, including Sudan and the DRC. He expressed encouragement that the Tumaini Initiative, co-sponsored by the Sant’ Egidio Catholic Community…
- 14 Jun 2024 - DP Rigathi Gachagua has come out to defend his recent political stance that has put him at loggerheads with a section of leaders in the Kenya Kwanza coalition as well as Central region.
- 14 Jun 2024 - Ruto said violence afflicting populations including in Sudan and DRC should end.
- 14 Jun 2024 - These are the stories making the headlines in the Star.
- 14 Jun 2024 - The Public Service CS said he lost the account to hackers on April 14.
- 14 Jun 2024 - The borehole will benefit over 8,000 residents of Kasikeu ward in Makueni county.
- 14 Jun 2024 - The Judiciary on Friday organized a psycho-social counselling and support session to its staff stationed at the Makadara Law Courts following an incident where a magistrate was shot.
- 14 Jun 2024 - Lenana School Primary was conceived after a 2019 building tragedy.