- 377 viewsViongozi wa Djibouti, Ethiopia, Kenya na Somalia walikutana Jumatano huko Mogadishu kujadili vita vinavyoendelea dhidi ya wanamgambo wa al-Shabab. Mkutano huo wa usalama unaowakutanisha viongozi umefanyika wakati Somalia na washirika wake wakifanya mashambulizi dhidi ya wanamgambo hao wa Kiislam. Somalia katika miaka iliyopita imepata ushindi mkubwa dhidi ya kikundi hicho, ambacho pia kimeongeza mashambulizi yake dhidi ya majeshi ya serikali. Mkutano huo wa Wakuu wa Nchi zilizoko mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya ugaidi, umejumuisha Rais wa Kenya William Ruto, Rais wa Djibouti Omar Guelleh, Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed na mwenyeji wa mkutano huo, Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud. #somalia #ethiopia #djibouti #kenya #williamruto #omarguelleh #abiyahmed #hassansheikhmohamud #alshabab - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Viongozi wa Afrika waahidi kuisaidia Somalia katika vita dhidi ya al-Shabab
- 14 Aug 2025 - At least 22 migrants died after two boats overturned in the Mediterranean on Wednesday, with more still missing and some 60 survivors, humanitarian agencies said.
- 14 Aug 2025 - The summit between US President Donald Trump and his Russian counterpart Vladimir Putin will be held at Joint Base Elmendorf-Richardson in Alaska, a White House official said Wednesday.
- 14 Aug 2025 - Only Ukrainian President Volodymyr Zelensky can negotiate a land deal with Russia in an effort to end Moscow's war against his country, French President Emmanuel Macron said on Wednesday.
- 14 Aug 2025 - South Africa's unemployment rate rose for the second quarter in a row, official data showed on Tuesday, highlighting one of the biggest challenges faced by the country's year-old coalition government.
- 14 Aug 2025 - Workers at the Kenya Pipeline Company (KPC) are demanding job security assurances as the government moves to sell a majority stake in the State corporation.
- 14 Aug 2025 - "Parliament must be called out. Something is going on in our Legislature that we must address. Money is being demanded from the Executive, governors, and ministers—especially those who appear before parliamentary committees for accountability,” said…
- 14 Aug 2025 - The Kenya National Commission on Human Rights (KNCHR) wants victims of protests and demonstrations to receive more than just monetary compensation.
- 14 Aug 2025 - IG sued over police payroll, officers' role during protests
- 14 Aug 2025 - Sudan moves to unlock disputed key trade corridor with Kenya
- 14 Aug 2025 - Governors vs deputies: Inside the power struggles paralysing Kenya's counties