Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wa DCP wahimiza wafuasi kuwa watulivu wakisubiri marejeo ya Gachagua nchini

  • | Citizen TV
    9,176 views
    Duration: 1:10
    Viongozi wa chama cha DCP kinachoongozwa naye aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua tawi la Nakuru wameendelea kukashifu onyo la waziri wa usalama Kipchumba murkomen na kuwarai wananchi kudumisha amani na hali ya utulivu na pia kuwarai wasiharibu mali na biashara watakapomkaribisha Gachagua. Gachagua anatarajiwa kurejea nchini hapo kesho baada ya kufanya ziara katika nchi za Marekani.