Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wa dini Nandi waonya dhidi ya joto la kisiasa

  • | Citizen TV
    226 views
    Duration: 2:33
    Viongozi wa dini kutoka madhehebu ya Kikristo na Kiislamu katika Kaunti ya Nandi wameelezea wasiwasi wao kuhusu kuongezeka kwa joto la kisiasa nchini, wakisema hali hiyo inaweza kuhatarisha umoja wa kitaifa ikiwa haitadhibitiwa mapema.