- 154 viewsRwanda inaadhimisha miaka 30 ya kipindi cha kutisha zaidi katika historia ya taifa hilo ya mauaji ya kimbari dhidi ya Watutsi walio wachache. Hadi leo hii, makaburi mapya ya halaiki bado yanagunduliwa kote nchini humo kwenye watu milioni 14, jambo ambalo ni ukumbusho wa kusikitisha wa ukubwa wa mauaji hayo. Rais wa Rwanda Paul Kagame ameongoza hafla ya kumbukumbu ya kusikitisha katika mji mkuu Kigali Jumapili katika maadhimisho ya miaka 30 ya mauaji ya kimbari. Wageni kutoka nje ya nchi wakiwemo viongozi wa Afrika Kusini, Congo, Ethiopia, Jamhuri ya Afrika ya Kati na Tanzania, pia Rais wa Israel Isaac Herzog. Marais wa zamani wa Marekani na Ufaransa Bill Clinton na Nicolas Sarkozy walihudhuria pia. Kagame aliwasha mwenge wa ukumbusho na kuweka shada la maua eneo la viunga vya kumbukumbu ya mauaji hayo ambapo zaidi ya watu 250,000 wanaaminika kuzikwa. - VOA, AP #rwanda #hakizabinadamu #kigali #paulkagame #voaswahili #mauaji #kimbari #viongozi #africa #dunia
Viongozi wa dunia, Afrika wahudhuria kumbukumbu ya mauaji ya kimbari
- 2 May 2024 - President William Ruto, the Commander-in-Chief of the Defence Forces, has promoted Lieutenant General Charles Muriu Kahariri to the rank of General and appointed him the new Chief of the Defence Forces (CDF).
- 2 May 2024 - President William Ruto might be addressing a joint session of the United States Congress on May 23, 2024, if approved by the Speaker of the House.
- 2 May 2024 - The number of Kenyans who have died from the ongoing nationwide floods rose to 188 as of Thursday morning as the nation continues to battle with torrential rains.
- 2 May 2024 - More than half of Kenyans consider Agriculture Cabinet Secretary Mithika Linturi most responsible for the dubious subsidised fertiliser under probe, a new survey shows.
- 2 May 2024 - Survivors of the Maai Mahiu flash floods say they had been warned over the looming danger posed by the Old Kijabe seasonal dam hours before the tragedy struck.
- 2 May 2024 - A police officer died in Matungulu, Machakos County after his car was swept away by floods in River Kware on Wednesday afternoon.
- 2 May 2024 - Speaker Moses Wetangula was forced to momentarily halt the proceedings.
- 2 May 2024 - The day is commemorated on May 3
- 2 May 2024 - A formal request has been issued to the United States Speaker of the House of Representatives and Republican member of Congress Mike Johnson, urging President William Samoei Ruto to address a joint session of Congress. In the letter, House Foreign…
- 2 May 2024 - Kahariri takes over the top security job after Ruto appointed him to replace Francis Ogolla.