Viongozi wa Dunia waeleza hisia zao kuhusu vita vya Israeli na Gaza
Marekani inasimama pamoja na Israeli, “Rais Biden alisema katika hotuba yake kupitia televisheni.
Israeli ina haki ya kujitetea dhidi “ya shambulizi la kinyama”, Chansela wa Ujerumani Olaf Scholz alisema Jumapili, baada ya kikundi cha wanamgambo wa Palestina Hamas kufanya shambulizi kubwa la kushtukiza.
Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika, alisema: “Kuwanyima haki za msingi za watu wa Palestina, hususan ile ya kuwepo taifa huru na lenye kujitawala, ni sababu kuu ya mzozo wa kudumu kati ya Waisraeli na Wapaletina.”
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan Jumapili aliisihi Israei na Kundi la wanamgambo wa Palestina Hamas “ kuunga mkono amani” na kujiepusha kuwadhuru raia.
Mshauri mwandamizi wa Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei alieleza kuunga mkono shambulizi hilo, akiliita ni “operesheni ya ufahari”.
Mkuu wa Umoja wa Ulaya, Ursula von der Leyen alisema: “Nina laani vikali shambulizi lililofanywa na magaidi wa Hamas dhidi ya Israel.
Wizara ya Mambo ya Nje ya Saudi Arabia ilisema: “Ufalme unatoa wito kusimamishwa haraka kusambaa kwa vita kati ya pande mbili, kuwalinda raia, na kujizuia”.
#israel #gaza #reels #igreels #videography #voa #hamas
2 May 2024
- This is the second time in six months the country is facing a blackout.
2 May 2024
- Primary education and higher education are among areas in the education sector with the largest budget cuts in the proposed budget for the 2024/2025 financial year.
2 May 2024
- The pipeline has been touted as having the capacity to make the cost of living more bearable for Kenyans.
3 May 2024
- The Commission on Administrative Justice, more commonly known as the Office of the Ombudsman, has recommended that the Directorate of Public Prosecutions, the Directorate of Criminal Investigations, and the Public Service Commission investigate some…
3 May 2024
- Reading Time: 2 minutes New women world marathon record holder Peres Jepchirchir has turned her focus to the 2024 Olympic Games set for Paris, […]
3 May 2024
- Reading Time: 2 minutes Football Kenya Federation (FKF) Premier League giants AFC Leopards and Gor Mahia have been slapped with heavy fines following the […]
3 May 2024
- Reading Time: 2 minutes The government plans to finance 37 infrastructure projects worth $12.1 million (Sh1.6 trillion), through Public Private Partnership (PPP) arrangements in […]
3 May 2024
- In a statement on Thursday, the National Museums of Kenya said Kenyans needed not panic as all the exhibits were secure.
3 May 2024
- Panic has gripped Kenyans following a warning that Cyclone Hidaya is closing on the Indian Ocean. The news comes in the wake of heavy rains and widespread flooding that has claimed the lives of at least 188 people and displaced tens of thousands. How…
3 May 2024
- Reading Time: 3 minutes The increasing desire by consumers for meaningful connections with the brands has seen conversational messaging channels experiencing explosive growth. Conversational […]
3 May 2024
- Police in Makueni have warned members of the public to stay away from Thwake Dam whose water level is rising rapidly. According to a situational report by the DCI, raging waters have engulfed the Makueni bridge, submerged the intake tunnel and also…
3 May 2024
- 51 bodies may never be found, families fear
3 May 2024
- Man convicted while mentally ill released after 34 years in prison