- 3,537 viewsDuration: 3:29Viongozi wa Kenya Kwanza Wamekashifu matamshi yake Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta wakisema anaendeleza vita katika vyama ya kisiasa. Viongozi hao wamemtaka Uhuru asalie kimya kuhusu masuala ya kisiasa na akome kuingilia serikali mahuluti. Wakizungumza huko Busia, viongozi hao wamesuta Kiongozi wa DCP Rigathi Gachagua kuhusiana na matamshi yake ya hapo jana dhidi ya uongozi wa Rais William Ruto.