Viongozi wa kidini wanawataka madaktari kushiriki meza ya mazungumzo.

  • | West TV
    17 views
    Huku mgomo wa madaktari ukiendelea kuathiri shughuli za matibabu kote nchini, kiongozi mkuu wa kanisa la marafiki nchini stephen magwilu ameitaka serikali na madaktari kulegeza misimamo yao mikali na kushiriki meza ya mazungumzo na kuafiki suluhu la haraka kuumaliza mgomo huo.