Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wa Kike wa Kenya Kwanza wamtaka Rais Ruto kuzidisha vita dhidi ya ufisadi

  • | Citizen TV
    1,855 views
    Duration: 2:28
    VIONGOZI WA KIKE Kutoka MRENGO WA KENYA KWANZA WANAMTAKA RAIS KUZIDISHA VITA DHIDI YA UFISADI SI TU KATIKA BUNGE LA KITAIFA BALI PIA KATIKA SERIKALI KUU NA HATA IDARA YA MAHAKAMA. VIONGOZI HAO WAKIWA KAUNTI YA NAKURU WAMESEMA KUWA UFISADI UMEKUWA Ukinyima SERIKALI pesa nyingi