18 Aug 2026 1:32 pm | Citizen TV 61,374 views Duration: 7:38 Viongozi wa Linda Mwananchi wamefika katika makao makuu ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) jijini Nairobi kuwasilisha malalamishi rasmi kuhusu ghasia zilizoshuhudiwa wakati wa shughuli zao za kisiasa.