- 7,531 viewsDuration: 3:01Viongozi wanaounga mkono serikali wameendelea kumkashifu Rais mstaafu Uhuru Kenyatta, wakimshutumu kwa kile wanachodai ni kufadhili kampeni za upinzani za kumpinga Rais William Ruto na kuhujumu serikali yake. Viongozi hao wamemtaka Kenyatta kuheshimu ustaaafu wake, huku wakiendelea kuwakosoa viongozi wa upinzani.