Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wa UDA wadai wana umaarufu Kajiado baada ya kushinda kiti cha wadi ya Purko

  • | NTV Video
    1,140 views
    Duration: 2:25
    Viongozi wa Chama cha UDA sasa wanadai kuwa chama hicho kina umaarufu mkubwa katika Kaunti ya Kajiado baada ya kushinda uchaguzi mdogo wa Wadi ya Purko, ambao ulishuhudia ushindani mkali kati yao na Chama cha DCP. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows. Website: ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya