Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wa UDA wamtetea Kindiki, Duale asema ushindi wa chaguzi ndogo ni kionjo kwa upinzani

  • | Citizen TV
    1,404 views
    Duration: 2:26
    Baadhi ya viongozi wa chama cha UDA wakiongozwa na Naibu Rais Kithure Kindiki wametetea vikali kiti chake cha naibu rais wakidai kwamba chaguo lao ni Kindiki licha ya Chama cha ODM kumezea mate kiti hicho. Waziri wa afya Aden Duale amesema kwamba ushindi wa UDA katika chaguzi ndogo zilizokamilika ni kionjo tu kwa wapinzani wao