Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wamtaka Hassan Omar ajiuzulu kutokana na matamshi

  • | Citizen TV
    8,976 views
    Duration: 3:08
    Viongozi mbalimbali sasa wanamtaka Katibu Mkuu wa UDA, Hassan Omar, kujiuzulu au kuondolewa afisini kufuatia matamshi yake yaliyozua utata kuhusu jamii ya Mlima Kenya, huku akijitetea na kuomba msamaha akisema kauli zake hazikulenga jamii yoyote mahsusi.