Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wanawake kutoka kaunti ya samburu wamelaani vikali kukithiri kwa mizozo ya kinyumbani

  • | Citizen TV
    253 views
    Duration: 3:15
    Viongozi wanawake kutoka kaunti ya samburu wamelaani vikali kukithiri kwa mizozo ya kinyumbani,akina mama wakidhulumiwa na waume zao kwenye ndoa. Viongozi hao wamewataka akina mama kuripoti visa hivyo ili wapate haki