Skip to main content
Skip to main content

Viongozi waonya kuhusu kauli za uchaguzi wa 2027

  • | Citizen TV
    1,221 views
    Duration: 3:12
    Viongozi wa makanisa na wa upinzani wameeleza wasiwasi kuhusu uwazi na uhalali wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2027, wakikosoa vikali matamshi yanayodai kuwa udanganyifu unaweza kutumiwa kumpa Rais Ruto muhula wa pili, huku wakionya kuwa kauli hizo zinaweza kulisukuma taifa kwenye machafuko.