- 258 views
Eneo la Kuria limerekodi visa vya chini vya ukeketaji mwaka huu ikilinganishwa na mwaka jana. Ripoti kutoka kwa afisi ya naibu kamishna wa kaunti ndogo ya Mabera inaashiria kuwa wasichana sita pekee ndio waliokeketwa mwaka Huu na wasichana 73 waliokolewa kutokana na ukeketaji huo. Kupungua kwa visa vya ukeketaji huko Kuria kumechangiwa na juhudi za hamasisho mara Kwa mara zilizowekwa na serikali na mashirika yasiyo ya kiserikali katika vita dhidi ya tabia hiyo iliyopitwa na wakati. Mratibu wa Shirika lisilo la kiserikali a MICONTRAP Benter Adhiambo ambaye alikuwa akizungumza wakati wa kampeni ya kupinga ukeketaji katika kaunti ndogo ya Ntimaru alisema kupunguzwa kwa visa vya ukeketaji katika eneo la Kuria ni ishara kwamba mikakati iliyowekwa na serikali na mashirika yasiyo ya kiserikali inazaa matunda.
Visa vya ukeketaji vimepungua maradufu eneo la Kuria
- - Thika | AREA CODE ››
- - LIVE| NEWS NOW ››
- 18 May 2024 - Angry residents of Kaminji village in Mwea-West, Kirinyaga County on Friday morning arrested four suspected donkey thieves and set one of their vehicles on fire.
- 18 May 2024 - Angry residents of Kaminji village in Mwea-West, Kirinyaga County on Friday morning arrested four suspected donkey thieves and set one of their vehicles on fire.
- 18 May 2024 - At least 50 people are dead following a fresh bout of heavy rain and flooding in central Afghanistan, an official said on Saturday.
- 18 May 2024 - “Learners screamed for help. Everything was burnt to ashes," narrated a teacher who witnessed the incident.
- 18 May 2024 - At least eight people have been confirmed dead after a bus they were travelling in plunged into a river in Gataka area on the border between Nairobi and Kajiado North.
- 18 May 2024 - The government has announced plans to build a new Ministry of Foreign Affairs headquarters in Nairobi.
- 18 May 2024 - Reading Time: 2 minutes The Kenya Women’s U17 National Team, the Junior Starlets, are intensifying their preparations for the second leg of their FIFA […]
- 18 May 2024 - Some of Donald Trump's allies are assembling proposals to curtail the Justice Department's independence and turn the nation's top law enforcement body into an attack dog for conservative causes, nine people involved in the effort told Reuters.
- 18 May 2024 - Reading Time: < 1 minute At least 50 p****e are dead following a fresh bout of heavy rain and flooding in central Afghanistan, an official […]
- 18 May 2024 - Puzzle of 2,000 absentee pupils in flood-ravaged Mai Mahiu school