Skip to main content
Skip to main content

Vita dhidi ya pombe haramu Gtitu Nyeri vyaendelea

  • | Citizen TV
    122 views
    Duration: 1:25
    Baa kumi peke yake ndizo zitakazokubaliwa kuhudu eneo la Gatitu kaunti ya Nyeri. Ndilo agizo la serikali ya kaunti hio, kufuatia idadi inayoendelea kuongezeka ya vifo vya walevi, watu wanne wakifariki baada ya kubugia pombe inayodaiwa kuwa ghushi, ndani ya majuma mawili yaliyopita