- 2,133 views
Vita vya maneno na sarakasi zimeshuhudiwa, siku ya kwanza ya vikao vya umma kuhusu hoja ya kutaka kubanduliwa kwa gavana wa Meru Kawira Mwangaza. Japo kuna wale waliomtetea Gavana Mwangaza, wengi waliozungumza kwenye kikao cha leo wameunga mkono hoja hiyo. Kikao cha leo kilichoandaliwa katika ukumbi wa bunge la kaunti ya Meru kilizua mdahalo mkali, hali iliyolazimu vikao hivyo kusimamishwa mara kwa mara. Haya yanajiri huku kesi inayopinga shughuli ya kumbandua Gavana Mwngaza ikiwasilishwa mahakama kuu mjini Meru. Gavana Mwangaza kupitia wakili Elias Mutuma anasema kuwa, hoja iliyowasilishwa bunge la kaunti haikuzingatia sheria na haina uhaki.
Vita vya maneno na kizaazaa zimeshuhudiwa wakati wa hoja ya kumbabdua Gavana Mwangaza
- » Murkomen appoints aircraft accident investigation team after General Ogolla died in helicopter crash20 Apr 2024 - Transport Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has appointed an aircraft accident investigation team following the fatal helicopter crash that killed Chief of Dence Forces General Francis Ogolla and nine other KDF soldiers.
- 20 Apr 2024 - The town registered the highest demand for land since the start of 2024.
- 20 Apr 2024 - United Democratic Alliance (UDA) members and officials in Nyanza have suspended their ongoing campaigns in light of the tragic passing of Chief of Defence Forces (CDF) Francis Ogolla.
- 20 Apr 2024 - Reading Time: 2 minutes Ethiopia’s Tamirat Tola, the reigning 2022 world marathon champion, and his compatriot Kenenisa Bekele, a multiple world and Olympic gold […]
- 20 Apr 2024 - President Ruto is among dignitaries at the event
- 20 Apr 2024 - President William Ruto is expected to preside over the Military Honours and Memorial Service of the late General Francis Ogolla. The honors will include a Church service, military parade and a 19-gun salute. The event is currently underway at the Ulinzi…
- 20 Apr 2024 - He was the among the 10 who perished in the chopper crash on April 18
- 20 Apr 2024 - The military will take charge of all the plans until he is laid to rest.
- 20 Apr 2024 - KISUMU, Kenya, Apr 20 – There will be not much of the Luo rites of burial practices as dictated by traditions and customs during the send off of Chief Defense Forces (KDF) General Francis Ogolla in Alego Usonga on Sunday. This was said by Principal…
- 20 Apr 2024 - This comes after he made another Ksh233 billion between September 2023 and January 2024.