- 157 viewsUkanda wa Gaza ulikumbwa na mapigano makali Jumatano huku mashirika ya misaada yakionya juu ya hatari ya njaa na mazungumzo mapya yakifanyika mjini Cairo ili kufikia makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Israel na Hamas na kuachiliwa huru kwa mateka. White House imemtuma mjumbe wake anayehusika na Mashariki ya Kati Brett McGurk kwa ajili ya mazungumzo mapya yanayohusisha wapatanishi na Hamas, siku moja baada ya azimio la Baraza la usalama la Umoja wa mataifa linalopendekeza sitisho la mapigano la mara moja kupingwa na Marekani. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Vita yapamba moto Ukanda wa Gaza
- 1 Jul 2025 - Critical shortfalls in global humanitarian funding now threaten millions of Sudanese refugees fleeing war to seek refuge in neighbouring countries, the UN World Food Programme (WFP) said on Monday.
- 1 Jul 2025 - Vihiga Governor Wilber Ottichillo has warned private pharmacy operators against selling drugs stolen from public health facilities. Ottichilo said he would be forced to deal with those who will be found selling stolen drugs decisively and firmly. “I…
- 1 Jul 2025 - The government is now appealing to parents, religious leaders, and community elders to take a more proactive role in guiding young Kenyans toward peaceful and lawful means of civic engagement.
- 1 Jul 2025 - Wiper Democratic Movement leader Kalonzo Musyoka has proposed that neutral arbitrators be appointed to aid in the negotiations between the government and Gen Z. Kalonzo said having non-partisan mediators will help address the issues with a lot of…
- 1 Jul 2025 - Ten years after parties to the United Nations Framework Convention on Climate Change reached a landmark agreement to combat climate change, experts have warned that insufficient progress has been made to accelerate and intensify the actions and…
- 1 Jul 2025 - Sports Cabinet Secretary Salim Mvurya has officially handed over the Moi International Sports Centre, Kasarani, to the Local Organising Committee (LOC), declaring Kenya fully prepared to host the African Nations Championship (CHAN) 2025, scheduled for…
- 1 Jul 2025 - The decision, made amid mounting public pressure on the state's response to the unrest, was confirmed in a statement issued Monday by Health Cabinet Secretary Aden Duale.
- 1 Jul 2025 - The autopsies, conducted at Kilome MNH Hospital Mortuary, revealed that Garson Mutisya, 33, and Makau Mualuko, 23, sustained fatal gunshot wounds to the chest, with the bullets exiting through their backs.
- 1 Jul 2025 - A 92-year-old British man was convicted on Monday for a rape and murder committed nearly 60 years ago, in one of the UK's longest-running cold cases.
- 1 Jul 2025 - IG Kanja, DCI ordered to produce missing blogger