- 211 views
Runinga ya K24 imebaini kuwa kuna mengi yaliyojadiliwa katika kikao cha jana kati ya serikali na baadhi ya viongozi wa upinzani ambayo viongozi wenyewe hawakuyaweka wazi. Siasa za nipe nikupe zilijadiliwa katika kikao cha faragha kilichoandaliwa kabla ya taarifa ya pamoja ya viongozi hao. Baadhi ya viongozi wameiarifu K24 kuwa upinzani uliahidiwa nafasi nne kuu katika serikali ya kenya kwanza kama njia mojawapo ya kutuliza joto la siasa. Haya yanajiri huku viongozi tofauti wa upinzani wakitoa taarifa kinzani kuhusu mazungumzo ya mustakabali wa taifa
Vuguvugu la Gen Z latingisha upinzani
- 5 Jul 2025 - Health Cabinet Secretary Adan Duale has warned private hospitals in the country against cheating on admissions to get Social Health Authority (SHA) medical insurance funds.
- 5 Jul 2025 - Kenyans have been urged to lease idle government land to help address the country’s growing food deficit.
- 5 Jul 2025 - A double attack Friday by suspected jihadists near Niger's western border with Burkina Faso left 10 troops dead, authorities said whilst stating that 41 attackers were also killed.
- 5 Jul 2025 - This comes amidst plans for the forthcoming Saba Saba Day on July 7, 2025.
- 5 Jul 2025 - Other CSs also made major changes to their various ministries.
- 5 Jul 2025 - Police said he is linked to multiple robberies within Likoni subcounty.
- 5 Jul 2025 - Rescuers were desperately searching for at least 20 girls missing from a riverside summer camp, officials said Friday, after torrential rains caused a "catastrophic" flash flood that killed at least 24 people as it swept through south-central Texas.
- 5 Jul 2025 - The concerns comes as Kenya is actively gearing for the 2027 general election.
- 5 Jul 2025 - His wife said the actor passed away in Clearwater, Florida, on Wednesday.
- 5 Jul 2025 - Trump evokes Russia sanctions after largest assault on Ukraine