Vyanzo vya ulinzi: Uharibifu ulioletwa na shambulizi la Israeli
Watu walikusanyika Alhamisi asubuhi (Februari 15) mji wa Nabatieh ulioko kusini mwa Lebanon karibu na magari ya kubeba wagonjwa, wakikagua uharibifu na kifusi cha jengo lililopigwa kwa kile vyanzo vilisema ilikuwa ni shambulizi la Israeli.
Shambulizi hilo katika jengo Jumatano jioni (Februari 14) liliuwa wanawake wasiopungua watatu, watoto kadhaa na mwanaume mmoja, kulingana na mkurugenzi wa hospitali ya mji huo, Hassan Wazni, na vyanzo vingine vitatu vya usalama. Watu kadhaa pia walijeruhiwa, Wazni aliliambia shirika la Reuters. Mwanamke mmoja na watoto wawili waliuawa katika shambulizi jingine mapema siku hiyo.
Wanamgambo wa Hezbollah kadhaa waliuawa pia na shambulizi hilo la Israeli katika vijiji vilivyopo kusini mwa Lebanon siku ya Jumatano, vyanzo vitatu vya usalama vya Lebanon vilisema, wakati Israel ilisema ilijibu shambulizi la roketi la Hezbollah ambalo lilimuua mwanajeshi wake.
Hezbollah na jeshi la Israeli wamekuwa wakishambuliana kwa silaha katika mpaka wa Israel na Lebanon kwa zaidi ya miezi minne, baada ya kikundi chenye silaha cha Lebanon kushambulia kwa roketi upande wa pili wa mpaka ambao unagombaniwa wakiwaunga mkono washirika wake Wakipalestina Hamas.
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen #iran
15 Jan 2025
- The plans are part of strengthening the energy security in the country.
15 Jan 2025
- The patients could not take the frustrations they have been facing under SHA anymore.
15 Jan 2025
- Mbadi has given Kenyans a deadline to comment on the budget estimates.
16 Jan 2025
- Qatar and the United States announced Wednesday a ceasefire and hostage-release deal between Israel and Hamas, adding they hoped it would pave the way for a permanent end to the war in Gaza.
16 Jan 2025
- City Hall has directed matatu owners to vacate stages during designated cleaning hours at night to allow county staff to conduct thorough cleaning. In a notice issued by Geoffrey Mosiria, the County Chief Officer for Environment yesterday the county…
16 Jan 2025
- Former police spokesman Charles Owino has rubbished Public Service Cabinet Secretary Justin Muturi's remarks that the National Intelligence Service (NIS) abducted his son.
16 Jan 2025
- A fire broke out at the University of Nairobi’s Taifa Hall on Wednesday night, causing significant damage to the building.
16 Jan 2025
- It is in humanity’s best interest to support people who are pressing governments to meet their obligations on climate change, whether they are protesting on the street, bringing cases to court or even carrying out acts of civil disobedience. Climate and…
16 Jan 2025
- Drama as patients storm Afya House over SHA failures
16 Jan 2025
- Property sector tops money laundering list in new report
16 Jan 2025
- Wiper kicks out Maalim amid call for Ruto to resign
16 Jan 2025
- School fees scandal as heads warn of looming shutdown
16 Jan 2025
- Abductions: Citizen protectors accused of turning tormentors