Vyanzo vya ulinzi: Uharibifu ulioletwa na shambulizi la Israeli
Watu walikusanyika Alhamisi asubuhi (Februari 15) mji wa Nabatieh ulioko kusini mwa Lebanon karibu na magari ya kubeba wagonjwa, wakikagua uharibifu na kifusi cha jengo lililopigwa kwa kile vyanzo vilisema ilikuwa ni shambulizi la Israeli.
Shambulizi hilo katika jengo Jumatano jioni (Februari 14) liliuwa wanawake wasiopungua watatu, watoto kadhaa na mwanaume mmoja, kulingana na mkurugenzi wa hospitali ya mji huo, Hassan Wazni, na vyanzo vingine vitatu vya usalama. Watu kadhaa pia walijeruhiwa, Wazni aliliambia shirika la Reuters. Mwanamke mmoja na watoto wawili waliuawa katika shambulizi jingine mapema siku hiyo.
Wanamgambo wa Hezbollah kadhaa waliuawa pia na shambulizi hilo la Israeli katika vijiji vilivyopo kusini mwa Lebanon siku ya Jumatano, vyanzo vitatu vya usalama vya Lebanon vilisema, wakati Israel ilisema ilijibu shambulizi la roketi la Hezbollah ambalo lilimuua mwanajeshi wake.
Hezbollah na jeshi la Israeli wamekuwa wakishambuliana kwa silaha katika mpaka wa Israel na Lebanon kwa zaidi ya miezi minne, baada ya kikundi chenye silaha cha Lebanon kushambulia kwa roketi upande wa pili wa mpaka ambao unagombaniwa wakiwaunga mkono washirika wake Wakipalestina Hamas.
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen #iran
26 Jul 2024
- The case of Rex has taken yet another twist, after IPOA failed to identify the officer, now the family says the body was tampered with.
26 Jul 2024
- Kalonzo made the revelations at a gathering in Nyeri County which was also attended by other senior politicians.
26 Jul 2024
- Trusted by President Ruto, the Central Bank insider was tasked with rebuilding the country's coffers, which the Kenyan Kwanza administration claimed were empty in 2022.
27 Jul 2024
- Team Kenya, led by Malkia strikers captain Triza Atuka and African fastest man in 100m Ferdinand Omanyala, was among the over 200 countries which paraded across River Seine during the opening ceremony of the 33rd Olympic Games held on Friday night along…
27 Jul 2024
- Azimio leaders accused of plotting coup against Raila Odinga
27 Jul 2024
- Teachers' pay rise plan in limbo as Treasury cuts Sh10b from budget
27 Jul 2024
- My father sold land but we lost it all, man says in Finland saga trial
27 Jul 2024
- Panic in Kihiu Mwiri as residents face eviction
27 Jul 2024
- The fate of investigations into the death of Rex Masai, who was allegedly felled by police bullets during the Anti-Finance Bill protests, remains uncertain after a key witness backed out of the case.
27 Jul 2024
- A 90-year-old man from Kilifi has been sentenced to 30 years in prison for defiling his 6-year-old stepdaughter. Kea Katana Mdudu is said to have committed the crime on July 16, 2019, in Mwaeba Pangani village, Tsangalaweni, Ganze Sub County, Kilifi…
27 Jul 2024
- Governor Wavinya Ndeti has announced Ksh80 million table banking fund at the grand launch of the women-only, Makima Tithers Sacco. The event, aimed at empowering women economically, saw enthusiastic participation from local women entrepreneurs and…
27 Jul 2024
- Defending champions and series holders KCB are in Pool 'A' alongside Nondies, Homeboyz and Impala.
27 Jul 2024
- The feeling can be worse for sportsmen and women who miss out on a place at the Games through no fault of their own.