- 6 views
Baadhi ya wadau wa vyombo vya habari wameelezea wasiwasi kwamba teknolojia ya akili unde itachangia usambazaji wa taarifa za uongo na kutatiza uadilifu wa tasnia ya uandishi wa habari. Wakati wa uzinduzi wa hati ya Whitepaper inayotoa suluhu kwa masuala muhimu katika sekta ya vyombo vya habari duniani, Mohamed Jalal ambaye ni mkurugenzi mkuu wa shirika la habari la Emirates alielezea haja ya kuwapa wanahabari ujuzi hitajika kuwawezesha kutofautisha baina ya taarifa ghushi na uandishi wa habari halisi. Washirika katika mkutano huo walisisitiza umuhimu wa kuwekeza katika mafunzo ya kidijitali na kutoa wito kwa wataalam wa vyombo vya habari kushirikiana na taasisi husika kuhakikisha uandishi wa habari unasalia kuwa nguzo ya kuenea ukweli na uwajibikaji katika enzi ya sasa ya kidijitali duniani.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Vyombo vya habari vyaetoa wasiwasi wa teknolojia ya akili unde kuchangia usambazaji taarifa za uongo
- - Citizen TV Live ››
- - Citizen TV Live ››
- - Citizen TV Live ››
- - Duniani Leo ››
- 27 Jul 2024 - G20 finance ministers are expected to take a first step towards international cooperation on taxing the super-rich Friday, with a deal in Brazil likely to call for individual nations to strengthen their own measures, rather than delivering a set of…
- 27 Jul 2024 - Attacks on Kamala Harris and Soipan Tuya highlight a global trend of undermining women's achievements through baseless accusations and cyberbullying.
- 27 Jul 2024 - Says his administration and the county government will partner in delivering the projects
- 27 Jul 2024 - The 44-year-old was found lying face down and unresponsive.
- 27 Jul 2024 - The teachers noted that the would be monitoring their demands from July 31.
- 27 Jul 2024 - Increased cases of crimes directly linked to irresponsible drinking, says commissioner.
- 27 Jul 2024 - Rain is expected on Saturday and on Sunday in some parts of the country.
- 27 Jul 2024 - Raila's allies nominated to the Cabinet will face an uphill task once they are in place.
- 27 Jul 2024 - Cemastea gives hands-on learning to help students excel in STEM
- 27 Jul 2024 - What if President Ruto wakes up and fires the CSs like he did the other day?