- 6 views
Baadhi ya wadau wa vyombo vya habari wameelezea wasiwasi kwamba teknolojia ya akili unde itachangia usambazaji wa taarifa za uongo na kutatiza uadilifu wa tasnia ya uandishi wa habari. Wakati wa uzinduzi wa hati ya Whitepaper inayotoa suluhu kwa masuala muhimu katika sekta ya vyombo vya habari duniani, Mohamed Jalal ambaye ni mkurugenzi mkuu wa shirika la habari la Emirates alielezea haja ya kuwapa wanahabari ujuzi hitajika kuwawezesha kutofautisha baina ya taarifa ghushi na uandishi wa habari halisi. Washirika katika mkutano huo walisisitiza umuhimu wa kuwekeza katika mafunzo ya kidijitali na kutoa wito kwa wataalam wa vyombo vya habari kushirikiana na taasisi husika kuhakikisha uandishi wa habari unasalia kuwa nguzo ya kuenea ukweli na uwajibikaji katika enzi ya sasa ya kidijitali duniani.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Vyombo vya habari vyaetoa wasiwasi wa teknolojia ya akili unde kuchangia usambazaji taarifa za uongo
- - Duniani Leo ››
- 30 Apr 2024 - Reading Time: 2 minutes The government will now leverage technology and involve chiefs especially in border and cosmopolitan counties in the registration and issuance […]
- 30 Apr 2024 - Reading Time: 4 minutes At least 4,000 doctors are employed in Kenya’s public healthcare sector. Almost all of them went on strike on 14 […]
- 30 Apr 2024 - Reading Time: 2 minutes Dorcas Rigathi, the wife of Deputy President Rigathi Gachagua says the war on alcoholism and drug abuse cannot succeed without […]
- 30 Apr 2024 - Reading Time: < 1 minute Civil Society Organisations are protesting budget cuts for vaccines in the Financial Year 2024-2025, citing disruption to the implementation of […]
- 30 Apr 2024 - Reading Time: 2 minutes At least 13 people were yesterday morning killed after an Improvised Explosive Device on a donkey cart went off in […]
- 30 Apr 2024 - Ruto pushes rich nations to boost funding for poor States
- 30 Apr 2024 - Huawei DigiTruck training helps boost income, employment and entrepreneurship in Kenya
- 30 Apr 2024 - Reading Time: < 1 minute Kakamega Governor Fernandes Barasa has called for sobriety between the government and medics to help end the ongoing strike. Barasa […]
- 30 Apr 2024 - Reading Time: 3 minutes Civil servants have warned that they will start holding demonstrations every Tuesday should the government make good its threat to […]
- 30 Apr 2024 - Reading Time: 2 minutes AFC Leopards will face Kenya Police in the semi-finals of the Mozzart Bet Cup following their 3-1 quarter-final victory against […]