- 73 viewsDuration: 1:43Tume ya elimu ya vyuo vikuu imetishia kutwaa leseni za kuhudumu za Vyuo vikuu ambavyo vinatoa masomo ambayo hayajaidhinishwa. Akitoa ilani hiyo, Afisa mkuu wa tume hiyo Mike Kuria amesema kuwa tayari vyuo kumi na vitano vilivyokuwa vikihudumu kinyume na sheria vimepkonywa leseni.Wakati huo huo, vyuo vikuu vimetakiwa kukumbatia teknoljia za kisasa zinazochipuka, ili kuhakikisha kuwa wanafunzi wanaohitimu wana ujuzi utakaowapa ushindani wa kikazi kokote duniani.