- 407 views- Mgomo mkubwa ulifanyika nchini Uingereza ikihusisha makundi mbalimbali ya wafanyakazi wakiwemo watumishi waandamizi wa serikali na wafanyakazi wa huduma ya reli. Waalimu ni mara ya kwanza wamejiunga na mgomo. - Wafanyakazi hao wameandamana wakishinikiza serikali kuwaongeza mshahara na kutengeneza mazingira bora zaidi ya kazi. #mgomo #uingereza #wafanyakazi #watumishi #serikali #shirikalareli #waalimu #voa #voaswahili #dunianileo - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Waalimu waandamana Uingereza, wadai wamechoshwa hawawezi kuendelea na kazi
- 19 Apr 2024 - Several cows have been stolen following a bandit attack at Kaben in Endo, Elgeyo Marakwet County, near the area where a Kenya Defence Forces (KDF) helicopter crashed on Thursday.
- 19 Apr 2024 - The late Chief of Defence Forces (CDF) General Francis Ogolla's son Joel Rabuku Omondi on Friday stunned mourners as he paid tribute to his father with his frigid display of strength at a time full of emotions.
- 19 Apr 2024 - Trans Nzoia Governor George Natembeya has ordered all landlords and owners of buildings in Kitale to adopt a uniform colour - green.
- 19 Apr 2024 - A Kenyan mountaineer has embarked on a daring quest to attempt a summit of the Mt. Everest without the use of supplemental oxygen.
- 19 Apr 2024 - Nairobi Governor, Johnson Sakaja, has been demanded to withdraw his statements on converting Uhuru Park into a commercialization center.
- 19 Apr 2024 - President William Ruto now says elevating General Francis Ogolla to the country’s Chief of Defence Forces position last year is the best appointment he has made so far since assuming power.
- 19 Apr 2024 - NARC Kenya Party Leader Martha has called for heightened investigations into the tragic death of Chief of Defence Forces (CDF) General Francis Ogolla.
- 19 Apr 2024 - Opposition Leader Raila Odinga has called for a "thorough, professional and transparent" investigation into the death of Chief of Defence Forces General Francis Ogolla who tragically lost his life in a helicopter crash on Thursday afternoon.
- 19 Apr 2024 - The new projects set to be launched by Ruto will also boost Kenya's export to the US.
- 19 Apr 2024 - The people of Israel had been preparing for the start of the Passover holiday next week.