Waandamanaji, mapambano katika mitaa ya Dakar baada ya uchaguzi wa rais kuahirishwa
Wabunge wa Senegal Jumatatu walijadili hali iliyokuwa haijawahi kutokea ya hatua ya kuahirisha uchaguzi wa rais uliokuwa ufanyike mwezi huu, ambao ulisababisha mapambano ghasia nje ya bunge na kuleta wasiwasi kimataifa.
Vikosi vya usalama vilitumia mabomu ya machozi kuvitawanya vikundi vidogo vya waandamanaji wa upande wa upinzani nje ya Bunge la Taifa. Waandamanaji walikuwa wakiimba “Macky Sall ni dikteta” wakikusudia rais wa nchi hiyo baada ya kutawanywa.
Mapambano ya mara kwa mara yalikuwa nadra kuonekana katika eneo ambalo kwa kawaida ni tulivu mjini Dakar, ambako polisi na vikosi vya usalama vikisaidiwa na magari makubwa yalipelekwa kulilinda bunge. - AFP
#senegal #mackysall #voaswahili
5 May 2024
- The new announcement comes after medics declined to sign an agreement with the government.
5 May 2024
- Residents accused President William Ruto of failing to honour his promises to fix the road.
5 May 2024
- The catholic church does not allow a person to marry two spouses through a church wedding.
5 May 2024
- The number of people killed by flooding and other impacts of the heavy rains battering Kenya has risen to 228, the interior ministry said on Sunday.
5 May 2024
- In videos circulating on social media, especially Facebook and WhatsApp, Chadian civilians say they need a leadership change and an end to what they call a Deby dynasty.
5 May 2024
- The Nairobi City Water and Sewerage Company has announced that there will be intermittent water supply within Nairobi County.
5 May 2024
- The United Kingdom, through the British High Commission in Nairobi has announced an emergency funding of over Ksh.140 million to support flood relief efforts in Kenya.
5 May 2024
- Traffic flow at Ahero Bridge along the Kisumu Nairobi highway has resumed after water levels caused by the swelling of river Nyando were reduced.
5 May 2024
- Kenya is currently experiencing heavy rains that have led to flooding and water bodies breaking their banks, which in turn have led to loss of lives and destruction of property.
5 May 2024
- At least two trucks were swept away as their drivers tried to cross Ahero Bridge.
5 May 2024
- The Kenya Renal Association has called for the immediate suspension of the operating licenses for Mediheal Hospital in Eldoret over alleged unethical kidney transplants performed in the facility.
5 May 2024
- Mwaura said floods have also injured 164 people; 72 others are currently reported missing.
5 May 2024
- The new announcement comes after medics declined to sign an agreement with the government.