18 May 2026 1:51 pm | Citizen TV 1,211 views Huko Makueni waandamanaji wameteketeza afisi za chama cha UDA mjini Wote huku hali tete ikizidi kutanda katika maeneo mbalimbali ya kaunti hiyo. Usafiri umelemazwa na haswa kwenye barabara kuu ya Mombasa kueleka Nairobi.