- 212 viewsUkosefu wa makazi na vituo salama kwa wahanga wa dhuluma za kijinsia miongoni mwa wanawake na wasichana inasalia kuwa changamoto kubwa kwa waathirika. Japo hatua kadha zimepigwa hasa katika mitaa ya mabanda ambapo visa hivi hunakiliwa zaidi nchini kenya, mashirika ya kijamii yanayowanusuru waathiriwa wa dhulma za kinjisia wanahoji serikali imekuwa ikitoa ahadi tele bila ya kuangazia kwa kina kutafuta suluhu la kudumu la dhulma dhidi ya wanawake na watoto. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Waathirika wa dhuruma za kijinsia Kenya bado wanakabiliwa na ukosefu wa makazi salama
- - Ringtone |The Trend ››
- 18 May 2024 - The Vatican on Friday tightened procedures for evaluating reported supernatural events such as weeping Madonnas and blood-dripping crucifixes that have for centuries whipped up the Catholic faithful.
- 18 May 2024 - The Ministry of Health has warned of possible outbreaks of waterborne diseases and other infections in schools following the recent floods experienced in most parts of the country.
- 18 May 2024 - Cases of bird flu have been confirmed among wild fowl in western China, the agriculture ministry said on Saturday, as concerns grow over a U.S. outbreak infecting cattle herds.
- 18 May 2024 - EACC has recommended the prosecution of politician Cyrus Jirongo, FKF President Nick Mwendwa and former Sports PS Amb. Peter Kaberia.
- 18 May 2024 - He said politics should go beyond regions and tribes
- 18 May 2024 - Several cases of cholera have been reported since the onset of floods
- 18 May 2024 - Admits that a number of their existing brigades were empty
- 18 May 2024 - Details of the investigations on the accused individuals were published in Kenya Gazette.
- 18 May 2024 - Day celebrates treaty which ensured world uses same measurement system
- 18 May 2024 - Mathare, Kamukunji, Kibra, Kabete, Langata, and Westlands prioritised due to their large populations.