Waathirika waeleza kiwewe cha tetemeko la ardhi na mateso yake
Wakazi waliopewa hifadhi katika kituo cha uokoaji walisema Jumanne (Januari 2) walikuwa wamepata mshtuko kutokana na tetemeko la ardhi lililopiga mji wao siku moja iliyopita, liliua watu wasiopungua 48 katika mkoa wa Ishikawa.
Mitsuru Kida, msimamizi wa kituo cha kijamii mjini Wajima ambacho kimegeuzwa kuwa kituo cha uokoaji, alisema watu wanaoishi hapo walikuwa hawawezi kulala kwa sababu ya kiwewe walichokipata kutokana na matetemeko madogo.
Tetemeko lililotokea Januari 1 siku ya Mwaka Mpya lilikuwa baya sana kuwahi kutokea tangu angalau mwaka 2016 wakati tetemeko la kiwango cha 7.3 kwa kipimo cha rikta kilipopiga Kumamoto katika kisiwa cha kusini mwa Japan, na kuua zaidi ya watu 220.
- Reuters
#wakazi #mkoa #Ishikawa #Japan #tetemeko #mshtuko #kiwewe #voa #voaswahili #vifo #kituo #uokoaji
13 Aug 2025
- Wamuchomba took a tough stance while grilling CS Murkomen, resulting in dramatic scenes in Parliament.
13 Aug 2025
- The DP made the announcement at his home in Irunduni.
13 Aug 2025
- The judge ruled on the matter on Wednesday.
14 Aug 2025
- At least 22 migrants died after two boats overturned in the Mediterranean on Wednesday, with more still missing and some 60 survivors, humanitarian agencies said.
14 Aug 2025
- The summit between US President Donald Trump and his Russian counterpart Vladimir Putin will be held at Joint Base Elmendorf-Richardson in Alaska, a White House official said Wednesday.
14 Aug 2025
- Only Ukrainian President Volodymyr Zelensky can negotiate a land deal with Russia in an effort to end Moscow's war against his country, French President Emmanuel Macron said on Wednesday.
14 Aug 2025
- South Africa's unemployment rate rose for the second quarter in a row, official data showed on Tuesday, highlighting one of the biggest challenges faced by the country's year-old coalition government.
14 Aug 2025
- Workers at the Kenya Pipeline Company (KPC) are demanding job security assurances as the government moves to sell a majority stake in the State corporation.
14 Aug 2025
- "Parliament must be called out. Something is going on in our Legislature that we must address. Money is being demanded from the Executive, governors, and ministers—especially those who appear before parliamentary committees for accountability,” said…
14 Aug 2025
- The Kenya National Commission on Human Rights (KNCHR) wants victims of protests and demonstrations to receive more than just monetary compensation.
14 Aug 2025
- Housing to remain key at World Urban Forum
14 Aug 2025
- Bulk buyers: What the property market misses in turnaround plan
14 Aug 2025
- KCB shareholders set for record Sh13b dividend boom on half-year profit jump